iqna

IQNA

Ukombozi wa Quds
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amewatahadharisha viongozi wa nchi za Kiislamu kuhusuu njama za kila namna za serikali mpya ya kifashisti ya Israel na kuwataka waamke kuuokoa Msikiti wa Al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3476360    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/05